TASDEF ina kupa fursa kadha wa kadha ni wewe tu kufafanya uamuzi uolio sahihi na thabiti ijue TASDEF, jiunge na TASDEF uone manufaa ya TASDEF.
TASDEF sio chama cha siasa ni taasisi isiyo ya kiserikali ambayo inakupa furs mtanzania kuwa na maisha ambayo kila siku unayazungumza na kuya waza sasa TASDEF inaleta ndoto na njozi zako ziwe halisia hivyo wewe una njozi za kukua kimaendeleo basi chaguo lako kubwa ni TASDEF
1. JIUNGE
2.UNDA KUNDI LA WATU 5
3.WEKEZA KIWANGO CHA CHINI NI SHILLINGI 500
4. CHUKUA MKOPO
5. PATA ELIMU BURE YA UJASIRIAMALI
6. ENDELEZA BIASHARA YAKO SASA
7. PATA BONASI NZURI UNAPOWATAARIFU WATU WENGINE
8. PATA FURSA ZA UJASIRIAMALI NA AJIRA NA TASDEF
9. NA FAIDA KEDE KEDE NA TASDEF
Mawasiliano
Simu: +255757302921
Email: tasdef17@gmail.com
UBUNGO KARIBU NA KAGAME HOTEL
TASDEF: " Ni mwangaza wa maisha yako"
"NYOTE MNAKARIBISHWA"
TASDEF (TANZANIA SOCIETIES DEVELOPMENT AND EMPOWERMENT FOUNDATION)
TASDEF ni taasisi isiyo ya kiserikali iliyosajiriwa mnamo tarehe 17/01/2014 yenye namba ya usajiri 00NGO/00006861 chini ya sheria ya usajiri wa taasisi zisizo za kiserikali ya mwaka 2002. Nafasi ya juu kabisa katika tasisi hii ni Mwenyekiti ambaye anaitwa IMAN MOSES. NJOZI YA TASDEF “Ni kuwa tasisi ya kwanza kumwezesha mtanzania kuwa na maisha bora kwa aishie kijijini au mjini” Mawasiliano; +255757302921, tasdef17@gmail.com, UBUNGO KARIBUI NA KAGAME HOTEL.
Jumatatu, 4 Mei 2015
Jumapili, 3 Mei 2015
JE WEWE NI MJASIRIAMALI ULIYE NA MIPANGO YA KUKUA ZAIDI?
TASDEF inatoa fursa kwa wajasiriamali wenye njozi za kukua na kukuza biashara zao. TASDEF inatoa fursa ya kupata mkopo ambao utaweza kuutumia na kufanya biashara yako pasipo wasi wasi wa aina yeyote. Masharti ni madogo tu ambayo ni kama yafuatayo;
FAIDA ZA KUWA NA TASDEF
TASDEF: "Ni mwangaza wa maisha yako"
Mawasiliano
Simu:+255757302921
Email: tasdef17@gmail.com
"NYOTE MNAKARIBISHWA"
- JIUNGE NA TASDEF LEO
- UNDA KUNDI LA WATU WATANO
- WEKEZA NA TASDEF KWA KIWANGO CHA CHINI CHA SHILINGI 500 TU
- TAARIFU WENGINE KUHUSIANA NA FURSA HII
FAIDA ZA KUWA NA TASDEF
- UTAPATA FURSA YA KUWEKEZA KIDOGO KIDOGO
- UTAPATA MKOPO KWA RIBA NDOGO PASIPO NA MASHARTI MAKUBWA
- KUPATA BONASI NZURI UNAPO DHAMINI MAKUNDI MENGINE ZAIDI
- KUPATA RIBA YA UWEKEZAJI
- KUPATA ELIMU YA UJASIRIAMALI BURE
- KUPATA FURSA YA MBALI MBALI ZA UJASIRIAMALI NA AJIRA KWA ALIYE JIUNGA
TASDEF: "Ni mwangaza wa maisha yako"
Mawasiliano
Simu:+255757302921
Email: tasdef17@gmail.com
"NYOTE MNAKARIBISHWA"
UONGOZI WA TASDEF
TASDEF ina uongozi ulioimara wenye kuangalia zaid maslahi ya watu uongozi wa TASDEF ni kama ufuatao;
1.IMAN MOSES-MWENYEKITI- +255757302921
2.MUSA MWANTIMWA-KHATIBU-+255766720853
3.JOSEPH CHRISTOPHER-MHASIBU-+255769587902
4.CHRISTINA MGOHIGANGA-AFISA MIPANGO-+255756209216
5.GETRUDA LYIMO -AFISA UTUMISH - +255768102881
6.TABU HAMISI-MSHAURI-+255754350227
Email: tasdef17@gmail.com
OFISI
UBUNGO KARIBU NA KAGAME HOTEL
1.IMAN MOSES-MWENYEKITI- +255757302921
2.MUSA MWANTIMWA-KHATIBU-+255766720853
3.JOSEPH CHRISTOPHER-MHASIBU-+255769587902
4.CHRISTINA MGOHIGANGA-AFISA MIPANGO-+255756209216
5.GETRUDA LYIMO -AFISA UTUMISH - +255768102881
6.TABU HAMISI-MSHAURI-+255754350227
Email: tasdef17@gmail.com
OFISI
UBUNGO KARIBU NA KAGAME HOTEL
TASDEF(TANZANIA SOCIETIES DEVELOPMENT AND EMPOWERMENT FOUNDATION)
TASDEF ni taasisi isiyo ya kiserikali iliyoanzishwa Tarehe 17/01/2014. TASDEF ina lengo kubwa la kumfanya mtanzania aweze kujikomboa mwenyewe pasipo kutegemea mtu wa aina nyingine. TASDEF ina amini kwamba maendeleo ni mtu mwenyewe akiamua kujihusisha katika suala la maendeleo.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)