Jumapili, 3 Mei 2015

TASDEF(TANZANIA SOCIETIES DEVELOPMENT AND EMPOWERMENT FOUNDATION)

TASDEF ni taasisi isiyo ya kiserikali iliyoanzishwa Tarehe 17/01/2014. TASDEF ina lengo kubwa la kumfanya mtanzania aweze kujikomboa mwenyewe pasipo kutegemea mtu wa aina nyingine. TASDEF ina amini kwamba maendeleo ni mtu mwenyewe akiamua kujihusisha katika suala la maendeleo.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni